Nahitaji mashine za kupokelea malipo kwa mastercard

Joined
Sep 3, 2011
Posts
48
Reaction score
17
Habari,
Tunahitaji kupokea malipo kutoka wa wateja wetu kwa njia ya mastercard, nahitaji kununua mashine ambayo inafanya kazi hiyo. Anayejua zinapopatikana tafadhali nifahamishe.
Asante.
 
Kwa jina inaitwa EFTPOS (electronic funds transfer at point of sale) pia uwajaribu bmtl
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…