Cheusi_blacky
New Member
- Feb 15, 2020
- 3
- 10
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mkuu Zero IQ hujakuwa matured bado huanze safari ya ndoa?
Joined 15/02/2020 tayari ushaanza kutafuta mume?? subiri kwanza wala tunda kimasihara ni wengi humuHello wanajukwaa,
Mimi ni mwanamke wa miaka 31
Nina mtoto mmoja
Ni mkristo
Nimeajiriwa
Najitokeza kuweka tangazo la kuhitaji mume aliye na utayari.
Awe mkristo
Awe na miaka 33 -40
Awe na kazi halali ya kuingiza kipato
Awe na elimu kiasi
Awe na Nia ya kujenga familia
Kwa aliye na Nia karibu PM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio walivyo wanawake wakiwa under 31 wanajionaga dunia yote ya kwao, wanaringa hatarii yaani full kunata, ukiwafata kwa lengo la kuwaoa wanakuona kama boya flani hivi.
Sasa subiri wavuke huo umri wawe above 30 yoyote tuu yule atakae kutana nae akimwambia ana lengo la kumuoa ye sawa tuu mwisho wa siku wanakuchakaza wee wanakuachia na mtoto,
Unaanza kijilaumu una mikosi kumbe ujinga wako tuu mwenyewe [emoji57][emoji57]
Hongera kwa kukomenti, umepata like tano....hongera sanaNdio walivyo wanawake wakiwa under 31 wanajionaga dunia yote ya kwao, wanaringa hatarii yaani full kunata, ukiwafata kwa lengo la kuwaoa wanakuona kama boya flani hivi.
Sasa subiri wavuke huo umri wawe above 30 yoyote tuu yule atakae kutana nae akimwambia ana lengo la kumuoa ye sawa tuu mwisho wa siku wanakuchakaza wee wanakuachia na mtoto,
Unaanza kijilaumu una mikosi kumbe ujinga wako tuu mwenyewe [emoji57][emoji57]
Ila wewe hujanipa like ...... Nipe na wewe basi iwe like ya sita [emoji18][emoji6]
Na watoto watatu na kila mtoto ana mama yake na wote sijawahi kuwakimbia,Usikute wewe ndio uliye mpa mimba dada wa watu akiwa kigori 23, ukakimbia..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio walivyo wanawake wakiwa under 31 wanajionaga dunia yote ya kwao, wanaringa hatarii yaani full kunata, ukiwafata kwa lengo la kuwaoa wanakuona kama boya flani hivi.
Sasa subiri wavuke huo umri wawe above 30 yoyote tuu yule atakae kutana nae akimwambia ana lengo la kumuoa ye sawa tuu mwisho wa siku wanakuchakaza wee wanakuachia na mtoto,
Unaanza kijilaumu una mikosi kumbe ujinga wako tuu mwenyewe [emoji57][emoji57]
Ndio walivyo wanawake wakiwa under 31 wanajionaga dunia yote ya kwao, wanaringa hatarii yaani full kunata, ukiwafata kwa lengo la kuwaoa wanakuona kama boya flani hivi.
Sasa subiri wavuke huo umri wawe above 30 yoyote tuu yule atakae kutana nae akimwambia ana lengo la kumuoa ye sawa tuu mwisho wa siku wanakuchakaza wee wanakuachia na mtoto,
Unaanza kijilaumu una mikosi kumbe ujinga wako tuu mwenyewe [emoji57][emoji57]