tinkanyarwele
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 2,016
- 1,946
Hii Ndio namba ya simu au email address? Acha ukuku weweYanapatikana pande za karume
nenda pale utayapata yote.
Utakuwa mshamba wa jiji wewe...au karume huwa una pasikia tu..?Hii Ndio namba ya simu au email address? Acha ukuku wewe
Email: president@tff.or.tzSalaam wanajamvi, nina haja sana na mawasiliano na ndugu Jamali Malinzi. Nikiipata nitashukuru sana, ikishindikana hata e mail itanifaa. Si kwania mbaya wapendwa mwenye kunisaidia nitashukuru.
Unahesabu Dar nalo jiji? Vipi ungefika Tokyo Osaka au Nagoya?Utakuwa mshamba wa jiji wewe...au karume huwa una pasikia tu..?
Malinzi tunayemjua watanzania anapatikana karume ,pale kuna ofisi zake
rasmi za kazi, kama anamtafuta private , tumu amini kwa kigezo kipi..?
na kama ni raia mwema tu basi aende pale karume atamkuta.
Analikuwaga na ID humu na alikuwa anachangia. Wakamsemasema akasusa... Jaribu namba zake za simu, ziko public nadhani.Salaam wanajamvi, nina haja sana na mawasiliano na ndugu Jamali Malinzi. Nikiipata nitashukuru sana, ikishindikana hata e mail itanifaa. Si kwania mbaya wapendwa mwenye kunisaidia nitashukuru.
We jamaa wa kuja sana...yani majiji unayo yaona kwa kutumia "google" na movie zaoUnahesabu Dar nalo jiji? Vipi ungefika Tokyo Osaka au Nagoya?
kweli huwezi toa namba yake binafsi mitandaoni tena bila ruhusa yakeEmail: president@tff.or.tz
Number: 0754******** Si busara kutoa bila ruhusa yake.