Fahad mayai
Member
- Dec 17, 2019
- 27
- 11
Kwa wafugaji tu.
Nanunua mayai ya kisasa kwa tsh 5400, uhitaji ni wa kwanzia tray 300 ndio nafata shamba ila kama ataleta yeye hata 100 ni sawa.
Kiini kiwe cha njano na yasiwe madogo, napatikana Dar es salaam iIlala mtaa wa Tunduru opposite na club ya wazee mawasiliano 0625602775.
Angalizo: Sifanyi malipo kwa njia za simu au bank, nalipa cash na mpaka nitapoona mzigo.
Nanunua mayai ya kisasa kwa tsh 5400, uhitaji ni wa kwanzia tray 300 ndio nafata shamba ila kama ataleta yeye hata 100 ni sawa.
Kiini kiwe cha njano na yasiwe madogo, napatikana Dar es salaam iIlala mtaa wa Tunduru opposite na club ya wazee mawasiliano 0625602775.
Angalizo: Sifanyi malipo kwa njia za simu au bank, nalipa cash na mpaka nitapoona mzigo.