balimar
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 7,743
- 13,657
Waungwana Habari!!
Kwa wafugaji wa kuku naombeni kupewa miongozo ya upatikanaji wa hiyo mbolea kiasi cha gunia kama 30 hivi. Naomba vitu vitatu nivijue
Mosi, wapi ilipo hiyo mbolea niifuate
Mbili, bei ni kiasi gani kwa gunia?
Ni lini naweza kuanza kuifuata hiyo mbolea
Nakutakia Jumapili njema!!
Kwa wafugaji wa kuku naombeni kupewa miongozo ya upatikanaji wa hiyo mbolea kiasi cha gunia kama 30 hivi. Naomba vitu vitatu nivijue
Mosi, wapi ilipo hiyo mbolea niifuate
Mbili, bei ni kiasi gani kwa gunia?
Ni lini naweza kuanza kuifuata hiyo mbolea
Nakutakia Jumapili njema!!