Nahitaji mchumba (mwanamke)

kuntumbyanga

Member
Joined
Sep 18, 2022
Posts
10
Reaction score
10
Habari,

Nahitaji rafiki wa kike mwenye sifa zifuatazo;
  • Muislam
  • Apatikane mkoa wa mtwara, wilaya masasi, nanyumbu au mtwara mjini
  • Awe mfupi wakati(150-170cm)
  • Akiwa mmakonde itapendeza zaidi
  • Pesa isiwe kipaumbele kwake
  • Mpole kidogo
  • 18-25yrs
  • Asiwe na mtoto
  • Muwazi
  • Hajawahi kuolewa
  • Muelewa
  • Aijitambue
  • Awe tayari kupima VVU na homa ya ini

Sifa zangu
  • Muislam
  • Mfupi wastani(162cm)
  • Mmakonde
  • Niko mkoa wa mtwara
  • 29yrs
  • Mpole
  • Muelewa sana

Mwenye utayal na hili naomba aje PM, lakini pia awe serious na hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…