Nahitaji mchumba Sio masihara

Nahitaji mchumba Sio masihara

Kumbe mzee ni mmenye,safi sana ,hakuna wa-tz wanaoishi japenga!
 
dadadeki hivyo vigezo mh,...km mfupi ndo bas tena dah,halafu hilo jina la sokwe linanitisha!.......teh teh
 
kwa hizo code number najua utawapata wengi sana,pitisha chekecheke la maana
 
Nimelipenda bandiko lako ghafla! Ila sasa watoto watafata dini ipi kama wewe dini kwako siyo issue? Je mkioana mtaishi wapi? Na je katika hatua za mwanzo zakufahamiana na kupima afya mtakutania wapi kutekeleza haya? Japo najua mawasiliano yataanza electronically still kukutana nako kutahitajika. Na wewe vipi wasifu wako? Mrefu kiasi gani? je mweusi au mweupe, presentabla au, unatumia kilevi? unavuta sigara? Nadhani ukijibu maswal haya hapa jf itakupunguzia kazi ya kushort list sbb wataaplly wale tu walioridhika na sifa zako! hahaha

Ni mimi sunshine potential candidate!! Tehe tehe....


Mimi ni mtanzania Nina miaka 39 sijawahi kuoa wala sina mtoto, nilisoma o level tambaza secondary, high level iliboru, udsm baadae nilikuja hapa Japan kwa masomo zaidi university of Tokyo kwa sasa nafanya kazi kampuni ya kuzalisha nishati ya umeme ya kifaransa edf hapa Tokyo natafuta rafiki wa kike ndani na nje ya tanzania, awe na elimu isiopungua high school, Sio mlevi, asivute sigara, mwenye malengo na maisha ya familia mwenye upendo wa dhati, dini Sio issue sana kwangu ila Mimi ni mkatoliki awe na umri 27-35, awe tayari kupima afya pia, urefu asiwe chini ya 170 cm, zaidi tuwasiliane +8180 4444 1220 au e mail, mgnjmoses@live.co.uk
 
Mimi ni mtanzania Nina miaka 39 sijawahi kuoa wala sina mtoto, nilisoma o level tambaza secondary, high level iliboru, udsm baadae nilikuja hapa Japan kwa masomo zaidi university of Tokyo kwa sasa nafanya kazi kampuni ya kuzalisha nishati ya umeme ya kifaransa edf hapa Tokyo natafuta rafiki wa kike ndani na nje ya tanzania, awe na elimu isiopungua high school, Sio mlevi, asivute sigara, mwenye malengo na maisha ya familia mwenye upendo wa dhati, dini Sio issue sana kwangu ila Mimi ni mkatoliki awe na umri 27-35, awe tayari kupima afya pia, urefu asiwe chini ya 170 cm, zaidi tuwasiliane +8180 4444 1220 au e mail, mgnjmoses@live.co.uk

weka picha nikupe shangazi yangu
 
Kudadadeki.......bonge la pande......ningekuwa badobado ningelikatia.......
 
Ogenki de suka?ukiweza denwa chodai ni PM nikupatie mke,mimi nimekaa sana hapo AYASE,na KITA-SENJU wewe ukiweza
PM nikupe mke!!!!!!
 
Duh HIGH level? Angalieni tu msije kupiga simu kampuni za kuuza magari
 
vigezo nimekidhi ila sijui urefu wangu sijui ni cm ngapi kwa kwenda juu
 
kigezo kimoja kikipungua utanizingatia? au lazima vitimie vyote vuuup kwa mpigo?
 
Kwa usomi na exposure kubwa ya ng'ambo kumbe bado unahitaji kutumia JF kutafuta mke!
 
Dah..! Mie nina vigezo vyote ila hilo jina lako SOKWE.. Mmmh.. Naogopah..!!
 
haaaya mama yangu kanikosesha bahati kwa kuto nizaa mapema angekua wangu huyo jamani yaani tofauti ya miaka 2 kudadadeki looo basi chukua hata kuanzia miaka 23 jamani
 
Back
Top Bottom