Nahitaji mchumba wa kike anayejiamini

Nahitaji mchumba wa kike anayejiamini

Julius01

Member
Joined
Feb 25, 2023
Posts
8
Reaction score
9
Nahitaji mwanamke aliyesoma/ mfanyabiashara/ anajitegemea/ mwenye cheo chake. Miaka 26 - 35.

Nipo Dar, nimejiajiri.
  • Kiongozi na mtawala.
  • Cuddling expert.
  • Nimetembea mikoa 10+, Ngorongoro, Manyara, Mikumi, Ziwa Victoria, n.k.
  • Napenda kucheka, kuchangamka, kufurahi na kuchombezana.
  • Furaha yangu ni kusaidia watu kuwa bora zaidi maishani mwao. Kuwasaidia ambao hawakuwa na bahati pia.
  • Muda mwingine nakesha ninaponogewa kusoma vitabu vizuri.

Navutiwa na;
  • Mwanamke mtiifu na anajiheshimu.
  • Tako zuri na hips.
  • Anayejiamini katika uzuri wake na anapenda uanamke wake.
  • Tabasamu na sati nyororo.
  • Mwanamke anayejiamini na mwenye mipaka.
  • Mwenye afya nzuri na anajitunza.
  • Mwanamke anayeweza kueleza vile anavyojisikia.
  • Msafi na mwenye kujithamini.
  • Mchangamfu, mwelewa na anapenda kufurahi/kujirusha.
Najiamini na nimezoea kupata ninachotaka, nataka mwanamke aliyezoea hivyo pia.

PM kama upo tayari na kuongozwa na mwanaume jasiri.
 
Nahitaji Mwanamke Aliyesoma/ Mfanyabiashara/ Anajitegemea/ Mwenye Cheo Chake. Miaka 26 - 35.

Nipo Dar, nimejiajiri.
  • Kiongozi Na Mtawala.
  • Cuddling Expert.
  • Nimetembea Mikoa 10+, Ngorongoro, Manyara, Mikumi, Ziwa Victoria, n.k.
  • Napenda Kucheka, kuchangamka, Kufurahi Na Kuchombezana.
  • Furaha Yangu Ni Kusaidia Watu Kuwa Bora Zaidi Maishani Mwao. Kuwasaidia Ambao Hawakua Na Bahati Pia.
  • Muda Mwingine Nakesha Ninaponogewa Kusoma Vitabu Vizuri.

Navutiwa Na;
  • Mwanamke Mtiifu Na Anajiheshimu.
  • Tako Zuri Na Hips.
  • Anayejiamini Katika Uzuri Wake Na Anapenda Uanamke Wake.
  • Tabasamu Na Sauti Nyororo.
  • Mwanamke Anayejiamini Na Mwenye Mipaka.
  • Mwenye Afya Nzuri Na Anajitunza.
  • Mwanamke Anayeweza Kueleza Vile Anavyojisikia.
  • Msafi Na Mwenye Kujithamini.
  • Mchangamfu, Mwelewa Na Anapenda Kufurahi/ Kujirusha.

Najiamini na nimezoea kupata ninachotaka, nataka mwanamke aliyezoea hivyo pia.

PM Kama Upo Tayari Na Kuongozwa Na Mwanaume Jasiri
Ngoja waje mkuu😂,, all the best
 
Julius mwana jf
Mwenzetuu.........
Ndugu..yetuu.....
Mwana jamii foruuu......mm
Eeh member wahuzunikaa...
Duniaa yahuzunikaaaa.....
Pamoojaa twwasema kwaheri
Kwaheri kaka
Juliius wa jamii foruuu.....m
 
Julius mwana jf
Mwenzetuu.........
Ndugu..yetuu.....
Mwana jamii foruuu......mm
Eeh member wahuzunikaa...
Duniaa yahuzunikaaaa.....
Pamoojaa twwasema kwaheri
Kwaheri kaka
Juliius wa jamii foruuu.....m
😂😂😂
 
Nahitaji Mwanamke Aliyesoma/ Mfanyabiashara/ Anajitegemea/ Mwenye Cheo Chake. Miaka 26 - 35.

Nipo Dar, nimejiajiri.
  • Kiongozi Na Mtawala.
  • Cuddling Expert.
  • Nimetembea Mikoa 10+, Ngorongoro, Manyara, Mikumi, Ziwa Victoria, n.k.
  • Napenda Kucheka, kuchangamka, Kufurahi Na Kuchombezana.
  • Furaha Yangu Ni Kusaidia Watu Kuwa Bora Zaidi Maishani Mwao. Kuwasaidia Ambao Hawakua Na Bahati Pia.
  • Muda Mwingine Nakesha Ninaponogewa Kusoma Vitabu Vizuri.

Navutiwa Na;
  • Mwanamke Mtiifu Na Anajiheshimu.
  • Tako Zuri Na Hips.
  • Anayejiamini Katika Uzuri Wake Na Anapenda Uanamke Wake.
  • Tabasamu Na Sauti Nyororo.
  • Mwanamke Anayejiamini Na Mwenye Mipaka.
  • Mwenye Afya Nzuri Na Anajitunza.
  • Mwanamke Anayeweza Kueleza Vile Anavyojisikia.
  • Msafi Na Mwenye Kujithamini.
  • Mchangamfu, Mwelewa Na Anapenda Kufurahi/ Kujirusha.

Najiamini na nimezoea kupata ninachotaka, nataka mwanamke aliyezoea hivyo pia.

PM Kama Upo Tayari Na Kuongozwa Na Mwanaume Jasiri
Mkuu Kwan lazma awe na tako zuri na hips?
 
Back
Top Bottom