msulupwete
Senior Member
- Dec 9, 2013
- 155
- 59
umeshampata ndugu?Nimekuwahi jove
chura yeyote yenye kupakatika kakaMkuu chura zinatofautiana, kuna 3G,4G na Wifi. Specify
nawahitaji kwa udi na uvumba kakaWenye chura zenu mnahitajika uku
Subiri waliokula vya mchina waje......sisi vimbaumbau acha tupite kimya[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17]jaman ndugu zangu ninakila kitu ambacho mwanamke anahitaji ila baada ya kuumizwa kwa muda kwenye mapenzi,nilistop mahusiano ili nipate break , sasa nimerudi nahitaji mahusiano yatakayo pelekea ndoa ila moja ya mambo yanayonivutia kwa mdada kiukweli huwa haya machura jaman aliyetayari ani pm .
hahaha si lazima iwe chura kubwa ya kichinaSubiri waliokula vya mchina waje......sisi vimbaumbau acha tupite kimya[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17]
utapata mkuuWakija wengi na mimi naomba mmoja.
Weee sina chura mm avatar yangu inajieleza ....ngoja wale wala vidonge wajehahaha si lazima iwe chura kubwa ya kichina
utapata mkuu
Mkuu chura zinatofautiana, kuna 3G,4G na Wifi. Specify
show ya nani saida kaloli au show ya mbele ya gari?Nataka mwenye Chura kwa Ajili ya show...!