a cha udomo nzege huko mtaani wapo kibao kwa Bango lako hili undhani in mwanamke gani atakutongoza we labda ungesema unalipwa kias gani au ungesema unatafuta rafikiHabari wana jf,
Kama kichwa kinavojieleza apo juu,Mimi ni kijana wa kiume nafanya kz ktk private sector.kipato changu na maisha yangu ni vyakawaida .kwa sasa naitaji Mchumba wa kujenga nae maisha! Vigezo kama ifuatavyo
1😀ini yoyote ile
2:Rangi yoyote
3:awe tayari kuishi mkoa wowote
4:mnene na mrefu wastani!
Yaaani wewe kila chumba waulizia wamefikia wapi, wataka ugundue nnUmefikia wapi mkuu maana ni kimya kirefu.
Mrejesho tu mkuu.Yaaani wewe kila chumba waulizia wamefikia wapi, wataka ugundue nn