Mkandarasi Mkuu
Member
- Jan 22, 2021
- 14
- 18
Mambo naitwa Rose Nitumie no yako ya WhatsappNina miaka 29, mfanyakazi kwenye NGO inayohusika na mambo ya UKIMWI, Nahitaji mchumba awe na umri kati ya miaka 18-25, awe hajawahi kuolewa asiwe na mtoto au watoto, kabila lolote lile na dini yoyote ile ila awe tayari kuambatana na mimi kiimani, awe mcha Mungu na kuhusu kazi sio lazima awe na kazi au elimu kubwa kikubwa awe na uwezo wa kuendana na kasi yangu ya kimaendeleo.
Kwa aliye serious anakaribishwa
Wanaenda na wachumba zaoWanaokuja kupima ukimwi huko hujaokotamo hata mmoja au wote wanakutwa na ngoma.