Nahitaji mchumba wa kiume, ukivutiwa na vigezo vyangu karibu

Sifa zako ni nyingi ulizozotaja na Mimi nikuulize je kalio unalo la kutosha kama la masogange? kama ni ndio usiendelee kupoteza muda njoo inbox tupange mipango ya ndoa itakuwaje?
Sorry sina, nipo kawaida tu kama nilivyoainisha kwenye huo wasifu wangu, kila rakheri.
 
Sorry sina, nipo kawaida tu kama nilivyoainisha kwenye huo wasifu wangu, kila rakheri.
Ok! sio rizki,anyway je unazo nguvu za kike walau nijilazimishe kukufuata inbobo?
 
Ok! sio rizki,anyway je unazo nguvu za kike walau nijilazimishe kukufuata inbobo?
Please mkuu be serious basi, we jua tu sio rizki kama ulivosema. Jpili njema.
 
Mbona unapata moto si unajua ndoa kuibembeleza wenzio napima tutawezana kweli?
Basi hadi hapa nahisi hatutawezana na nimekubali, hizi unazofanya ni dhihaka na si kunipima🙌
 
Mbona ukifuatwa pm hauko active kwenye conversation??? Au nawe umekuja kujaribu kuona wahitaji wangapi???
 
Urefu; 180cm

Dini:christian

Kazi:unga unga mwana(nimejiajiri)

Elimu:six leaver

Naishi getto msela nipo single!

Karbu PM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…