Nahitaji mchumba

Nahitaji mchumba

GJHariohay

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2013
Posts
1,041
Reaction score
1,160
Nina miaka 29, nahitaji msichana alie serious na yuko tayari kuolewa ndani ya mwaka mmoja. Atleast awe na kazi inayompa rizki yake (not neccessary).
Umri kuanzia miaka 21_25. Dini sio kikwazo.
Mengine tutamalizana DM.

Just be serious

Karibuni wadada.
 
Back
Top Bottom