Nahitaji Mhudumu wa Mgahawa

Nahitaji Mhudumu wa Mgahawa

Cards Fantasy

Senior Member
Joined
Nov 3, 2016
Posts
192
Reaction score
111
Habari za leo wanafamilia!

Tuna mgawaha mdogo maeneo ya Chang'ombe maduka mawili Dar, tunahitaj Dada mmoja wa kusaidia kudeliver order na kufata order.

Akiwa anaishi mitaa ya huku au angalau gari moja itakuwa afadhali.

Posho/ mshahara ni Laki 1 kwa mwezi!

Wasiliana na Dada,
0689565965
0655 843 608
 
Back
Top Bottom