Nipo best, naangalia jinsi watu wanavyotia mchanga kwenye kitumbua cha mleta mada
Hata ufuteje mchanga hauishi ng'ookwanini hakiliki? si unaondoa michanga yote
Mleta Mada anazunguka [emoji16]Nipo best, naangalia jinsi watu wanavyotia mchanga kwenye kitumbua cha mleta mada
Umeona eeeh!
hata ukiosha na maji?Hata ufuteje mchanga hauishi ng'oo
Sasa kitumbua utakioshaje kwa maji?hata ukiosha na maji?
sijui mimiSasa kitumbua utakioshaje kwa maji?