msanifuwaukweli
Member
- Jul 22, 2019
- 99
- 66
Mimi ni kijana wa miaka 30, ni mkristo nimeajiriwa serikalini elimu yangu ni degree moja
Natafuta mke umri kuanzia miaka 17 mwisho 25. Awe mkristo wa dhehebu lolote isipokua msabato
wa muislam awe tayari kufunga ndoa ya kikristo mambo mengine tutayajenga wawili
Asiwe na mtoto, elimu yoyote ile tutaendelezana mbele ya safari. Asiwe kajichubua wala tattoo ya aina yoyote ile mwilini.
Awe mcha Mungu kiasi ila asizidishe sana (asiwe mlokole tafadhali.) akipatikana Dar au Tanga itapendeza
Sifa zifuatazo ni added advantage ingawa sio lazima
1. Kipato wastani(hata kujimudu angalau vocha tu)
2. Elimu angalau
3. Smart,msafi,humble
kwa mdada aliye tayari karibu PM
Natafuta mke umri kuanzia miaka 17 mwisho 25. Awe mkristo wa dhehebu lolote isipokua msabato
wa muislam awe tayari kufunga ndoa ya kikristo mambo mengine tutayajenga wawili
Asiwe na mtoto, elimu yoyote ile tutaendelezana mbele ya safari. Asiwe kajichubua wala tattoo ya aina yoyote ile mwilini.
Awe mcha Mungu kiasi ila asizidishe sana (asiwe mlokole tafadhali.) akipatikana Dar au Tanga itapendeza
Sifa zifuatazo ni added advantage ingawa sio lazima
1. Kipato wastani(hata kujimudu angalau vocha tu)
2. Elimu angalau
3. Smart,msafi,humble
kwa mdada aliye tayari karibu PM