dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
rejea hapa bibieUmekariri maisha. Kila la kheri.
Jf inakuharibu dogo, kuwa makini na mitandao. Mie nimemaliza kuongea na wewe kwaheri.rejea hapa bibie
Hatimaye ndoa yangu imevunjika
Kasi ya ubachelor inaongezeka speed kudadadeki π π π maana majuto kashakuwa mjukuu Hamna namnaππwww.jamiiforums.com
mimi siongei, bwana Baba jayaron alikua mbioni kutafuta 'gunia la mkaa'
hapana inanijenga , napata uzoefuJf inakuharibu dogo, kuwa makini na mitandao. Mie nimemaliza kuongea na wewe kwaheri.
Sawahapana inanijenga , napata uzoefu
Uliringa wakati wa ujana sasa upo desperate kupata mke.
Hebu tupe kwanza feedback ya waliopita. Manake kwa kutafuta tu, unajitahidi.
Sijui kama huwa 'thrust' kimasihara
Thread 'Nahitaji mke mwema' Nahitaji mke mwema
Thread 'NATAFUTA MKE WA KUISHI NAYE' NATAFUTA MKE WA KUISHI NAYE
Thread 'Iam searching for a white girl or woman' Iam searching for a white girl or woman
Thread 'Natafuta mchumba wa kike' Natafuta mchumba wa kike
Ukimind Mkuu Sema nikupe location uning'oe meno mawili matatu.
Uliringa wakati wa ujana sasa upo desperate kupata mke.
ππππ Kuna uzi nilikuita Kuna ubavu wako unahitaji mume. Sina wivu bali nakushangaaMbona unawivu wewe?
Hebu tupe kwanza feedback ya waliopita. Manake kwa kutafuta tu, unajitahidi.
Sijui kama huwa 'thrust' kimasihara
Thread 'Nahitaji mke mwema' Nahitaji mke mwema
Thread 'NATAFUTA MKE WA KUISHI NAYE' NATAFUTA MKE WA KUISHI NAYE
Thread 'Iam searching for a white girl or woman' Iam searching for a white girl or woman
Thread 'Natafuta mchumba wa kike' Natafuta mchumba wa kike
Ukimind Mkuu Sema nikupe location uning'oe meno mawili matatu.
Kumbe wenye wivu tupo wengi? π€£ππππ Kuna uzi nilikuita Kuna ubavu wako unahitaji mume. Sina wivu bali nakushangaa
Ahsante kwa kunipa moyo naona wengine wamejaa wivu tuKila la kheri mkuu
Sina wivu mie jamani,huyu jamaa alichezea ujana wake akawa anaringa now anahahaKumbe wenye wivu tupo wengi? π€£
Ah wapi.Sina wivu mie jamani,huyu jamaa alichezea ujana wake akawa anaringa now anahaha
Ndo tabia yake tangu ujana wake that's hapati mke na hatapataππππAh wapi.
Huyu anatafuta tudame anakula anasepa.
Ukute ana familia pembeni.Ndo tabia yake tangu ujana wake that's hapati mke na hatapataππππ
Eti eee, shauri lao watakaoingia kwenye mtegoUkute ana familia pembeni.
Huyu anavizia wale wanawake ambao wapo desperate wanatafuta ndoa anawakula kwa kisingizio ana future nao.
Haiwezekani 3 years now usiwapate.
Hakosi mikasa kwenye sredi ya riki boy.Eti eee, shauri lao watakaoingia kwenye mtego
rejea hapa bibie
Hatimaye ndoa yangu imevunjika
Kasi ya ubachelor inaongezeka speed kudadadeki π π π maana majuto kashakuwa mjukuu Hamna namnaππwww.jamiiforums.com
mimi siongei, bwana Baba jayaron alikua mbioni kutafuta 'gunia la mkaa'