Hahaha ajabu kwenye uzi wa Natafuta mchumba wa kike aliopost feb mwaka huu alikuwa ana miaka 35Hebu tupe kwanza feedback ya waliopita. Manake kwa kutafuta tu, unajitahidi.
Sijui kama huwa 'thrust' kimasihara
Thread 'Nahitaji mke mwema' Nahitaji mke mwema
Thread 'NATAFUTA MKE WA KUISHI NAYE' NATAFUTA MKE WA KUISHI NAYE
Thread 'Iam searching for a white girl or woman' Iam searching for a white girl or woman
Thread 'Natafuta mchumba wa kike' Natafuta mchumba wa kike
Ukimind Mkuu Sema nikupe location uning'oe meno mawili matatu.
Malizia. This is JF where everything can and does happen. 🤣🤣🤣🤣🤭🤭🤭Hahaha ajabu kwenye uzi wa Natafuta mchumba wa kike aliopost feb mwaka huu alikuwa ana miaka 35
Ndani ya miezi miezi minne ameongezeka kwa miaka mitatu
This is JF
38 mbona hajazeeka bado?? Unataka kusema na 27 yangu hii nioe?? Enewei nikija home Tz nitaoa wacha nisake maisha kwanza.Ina apply kote kote hiyo. Ona anavyohangaika na uzee wote huo
Angalia usije ukawa kama mtoa mada. Ukiona mtu anatangaza kutafuta mke/mume ujue kuna tatizo mahali38 mbona hajazeeka bado?? Unataka kusema na 27 yangu hii nioe?? Enewei nikija home Tz nitaoa wacha nisake maisha kwanza.
Three years anatafuta mke jf[emoji15][emoji15]..Ukute ana familia pembeni.
Huyu anavizia wale wanawake ambao wapo desperate wanatafuta ndoa anawakula kwa kisingizio ana future nao.
Haiwezekani 3 years now usiwapate.
Huyu anamaanisha et kisa gari zinapata ajali nakuua ndo usingizie mi sinunui gari kumbe mtu hauna hela ya kununua tu gariJf inakuharibu dogo, kuwa makini na mitandao. Mie nimemaliza kuongea na wewe kwaheri.
Kuna Mambo hutokea mkuu siyo kwamba kufikisha miaka 38 au 40 bila mke inapangwa. Kuna mazingira yakitukuta sisi Me basi inakuwa ngumu kuoa mapema. Kuna other factors other than money, true love... mbona huku watu hawako serious Sana na ndoa mkuu? Mimi Naona suala la kuoa limebaki Africa tuAngalia usije ukawa kama mtoa mada. Ukiona mtu anatangaza kutafuta mke/mume ujue kuna tatizo mahali
Ni kweli usemayo. Ndoa ni upumbavu basi tu tumerogwa.Kuna Mambo hutokea mkuu siyo kwamba kufikisha miaka 38 au 40 bila mke inapangwa. Kuna mazingira yakitukuta sisi Me basi inakuwa ngumu kuoa mapema. Kuna other factors other than money, true love... mbona huku watu hawako serious Sana na ndoa mkuu? Mimi Naona suala la kuoa limebaki Africa tu
Mke wapi?Three years anatafuta mke jf[emoji15][emoji15]..
Hivi hakuna kabisa wanawake wa kuoa hapo Tz??
Huko mitaani je? Wanasemaje mkuu?
hahahaha sidhani, wa kukojolea mbona wanapatikana 'bwelele' mitandao 'pendwa' ile ?Huyu anatafuta wa kuwakojolea tu.
Hahaaa.hahahaha sidhani, wa kukojolea mbona wanapatikana 'bwelele' mitandao 'pendwa' ile ?