Nahitaji mke mwenye vigezo hivi

Mkristo mmoja anamshukuru Mungu kwa kufikisha miaka 30 hajaoa.
Anamuomba Mungu amjalie apate mke mwema na aanefanya kazi wasaidiane maisha pia asiwe na mtoto...
Kwakua ufalme ni wako, na nguvu na utukufu hata milele! Tunakuomba Eh bwana umsikie
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkristo mmoja anamshukuru Mungu kwa kufikisha miaka 30 hajaoa.
Anamuomba Mungu amjalie apate mke mwema na aanefanya kazi wasaidiane maisha pia asiwe na mtoto...
Kwakua ufalme ni wako, na nguvu na utukufu hata milele! Tunakuomba Eh bwana umsikie
Amen na iwe hivyo
 
Safi sana maelezo yamenyooka siyo wale wanachimba mgodi hadi Mika 4 mpaka mtoto hawezi kubembea tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…