johnson matinde
Member
- May 8, 2024
- 23
- 18
Ebhna hili swala la mke sio kwako mkuu tupo wengi tu na huu ubize tulionao hata wa kumtongoza humpati na wala humuoni basi inakua kasheshe sana
👊Mimi sasa.
Mkuu natumia wasifu
100👊Mimi sasa.
Mkuu natumia wasifu wako
Ni kweli wala hujakosea kakaEbhna hili swala la mke sio kwako mkuu tupo wengi tu na huu ubize tulionao hata wa kumtongoza humpati na wala humuoni basi inakua kasheshe sana
Yes nambieOya Matinde??
Ni kweli broEbhna hili swala la mke sio kwako mkuu tupo wengi tu na huu ubize tulionao hata wa kumtongoza humpati na wala humuoni basi inakua kasheshe sana
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkristo mmoja anamshukuru Mungu kwa kufikisha miaka 30 hajaoa.
Anamuomba Mungu amjalie apate mke mwema na aanefanya kazi wasaidiane maisha pia asiwe na mtoto...
Kwakua ufalme ni wako, na nguvu na utukufu hata milele! Tunakuomba Eh bwana umsikie
Amen na iwe hivyoMkristo mmoja anamshukuru Mungu kwa kufikisha miaka 30 hajaoa.
Anamuomba Mungu amjalie apate mke mwema na aanefanya kazi wasaidiane maisha pia asiwe na mtoto...
Kwakua ufalme ni wako, na nguvu na utukufu hata milele! Tunakuomba Eh bwana umsikie
Yeah kila lenye kheri kwake Ampate amtakaye
Safi sana maelezo yamenyooka siyo wale wanachimba mgodi hadi Mika 4 mpaka mtoto hawezi kubembea tenaRej:- Natafuta MKE.
Vigezo/
Mwembamba kiasi/mrefu kiasi/rangi yoyote.
Mkristo na awe ametokea familia ya kikristo.
Elimu yoyote.
Awe anafanya kazi.
Umri/24-29
Kabila lolote.
Asiwe na mtoto.
Mimi sasa.
Elimu/diploma
Kazi/ nimeajiriwa
Umri/30
Naishi/ Dar
Dini/ mkristo
Mungu awabariki wote.