Nahitaji Mke serious!

hebu tuambie ushatolewa mbavu ngapi, Je unafikiri ni mwanamke gani atakaye mkubali mwanaume asiye na mbavu?
 
28 unahaha ivo? Hah hah hah...
Labda kama unaishi pangoni na hutoki. Vinginevo mda unaruhusu kupata msichana na akawa mchumba na hatimae mke. Acha kuhaha kwa sasa.

Mkuu kuhaha inatokana na kutumia muda mwingi katika kumtumikia bepari hata muda wakutoka kuangalia ufundi wa muumba unakua mdogo au adimu!
 
Mkuu kuhaha inatokana na kutumia muda mwingi katika kumtumikia bepari hata muda wakutoka kuangalia ufundi wa muumba unakua mdogo au adimu!

Hiyo si tija mdau. Huwezi nambia siku saba za wiki huna hata saa moja la kukutana na wadau wa kijamii. Acha kukata tamaa mapema ivo. Hapo ofisini kwako, wapo mabinti?, na hao waofisini ulowazoea wana marafiki zao(wakike) ambao utakuwa umejenga japo mazoea, binamu yako ana rafiki wa kike, mdogoako au dadako ana rafiki wa kike, mtaani wapo, marafiki wa zamani, na wale mabinti wote ulo wa delete, go and retrieve one by one to try you lucky chick. Make online dating your last resort mdau.
 
Weka contact zako ili ikiwezekana wakutafute au unaona soo. usiogope hiyo ni kawaida, hata email inatosha
 


Shule nimesoma boys,chuo nilikua library boy sana then ofisini karibia wote ni wakinamama wenye familia,wadogo zangu umri nimewaacha sana so it is unrealistic kusema unadate na rafiki wa mdogo wako,well blind date will be the last resort though!
 

hizi sifa za Faiza Foxy.. M pm.
 
Wakuu nimesema niko serious katika kupata mke sio kupata mke serious!

Basi rekebisha kichwa cha mada kwani kinasema unahitaji MKE SERIOUS na siyo kama ulivyofafanua.
 
Shule nimesoma boys,chuo nilikua library boy sana then ofisini karibia wote ni wakinamama wenye familia,wadogo zangu umri nimewaacha sana so it is unrealistic kusema unadate na rafiki wa mdogo wako,well blind date will be the last resort though!

You sound desperate my young brother. Angalia usije uziwa mbuzi kwenye gunia.
 
wakupita hebu pita hapa kwangu! nipm if you r serious.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…