Nahitaji mke wa kuoa awe mkristu dhehebu yoyote umri kuanzia 27 mpaka 32

Nahitaji mke wa kuoa awe mkristu dhehebu yoyote umri kuanzia 27 mpaka 32

Mvomero city

Member
Joined
Jul 14, 2017
Posts
15
Reaction score
5
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, nilieajiriwa, ninahitaji mke wa kumuoa awe mkristu dhehebu lolote kwa sasa napatikana Dodoma.

Kwa alie tayari anichek inbox kwa SMS, serious I mean.
 
Mim nikijana mwenye umri wa miaka 29 nilie ajiriwa nnahitaji Mke wa kumuoa awe mkristu dhehebu lolote kwa sasa napatikana Dodoma kwa alie tayar anichek inbox kwa SMS ....serious I mean
Nakushauri tafuta hukohuko uliko kuliko request ya JF usije ukajuta bure, naamini mwanamke hatafutwi mtandaoni
 
Mim nikijana mwenye umri wa miaka 29 nilie ajiriwa nnahitaji Mke wa kumuoa awe mkristu dhehebu lolote kwa sasa napatikana Dodoma kwa alie tayar anichek inbox kwa SMS ....serious I mean
Duuuuh una utani wewe yaani una miaka 29unataka mke mwenye 32yrs how comes?
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, nilieajiriwa, ninahitaji mke wa kumuoa awe mkristu dhehebu lolote kwa sasa napatikana Dodoma.

Kwa alie tayari anichek inbox kwa SMS, serious I mean.
Lol..Lyk serious kabisaa unatafuta mke humu..skushauri my friend...mke mwema anatoka kwa bwana ivo yan
 
Back
Top Bottom