Niko seriosy nataka mke wa kuoa, nina miaka 32 kazi yangu mwalimu natafuta mke wa kuoa nimechoka kukaa hivi.
Vigezo;
1.Muislam atakae weza kumcha muumba wake kwa kuswali na mambo mengine
2.Umri miaka 23-28,3.Elim kidato cha nne na kuendelea na awe mrefu kdogo
Niko seriously atakae kuwa tiari aje pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Vigezo;
1.Muislam atakae weza kumcha muumba wake kwa kuswali na mambo mengine
2.Umri miaka 23-28,3.Elim kidato cha nne na kuendelea na awe mrefu kdogo
Niko seriously atakae kuwa tiari aje pm
Sent using Jamii Forums mobile app