una post 4
3 kati ya hzo unahitaji mke (hapa una nyota ya punda, kaogee maji ya mtoni )
wewe si juzi tu hapa umekuja na thread inayosema mke wako ameenda kwao kujifungua hajarudi ? mara hii tu umeshakata tamaa ? unaoa mke wapili ? zingatia sana kipato chako , !!!!