John Amigo
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 627
- 414
powMwandiko wako si haba! Kila la heri mkuu "
mambo adhalani [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahahhh aongee kila kitu hapa hapa asije pm aisee
atakuja tu[emoji3] [emoji2]Ila kwa Kiswahili na uandishi wako unaweza usipate mrembo
[emoji2] [emoji2] sifa zako zipiDaaaah nimekosa sifa
Hiki kitupite tu. Baba hata kuandika lugha ya taifa mtihani kikija kimalkia patatosha kweli na mie ndoto yangu mtoto aanze kimalkia toka nursery.Wanawake wenzangu njooni kwenye kinyang'anyiro [emoji4] [emoji4]
Kwa uandishi huo utaweza kweli kumsaidia mtoto homework?
Hapo itakuwa kazi ya mama [emoji1] [emoji1]Hiki kitupite tu. Baba hata kuandika lugha ya taifa mtihani kikija kimalkia patatosha kweli na mie ndoto yangu mtoto aanze kimalkia toka nursery.