Nahitaji mke wa kuoa!

Nahitaji mke wa kuoa!

DULLAH B.

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2011
Posts
672
Reaction score
149
Jamani mi nahitaji mke wa kuoa co kumchezea! Awe muislam elimu kuanzia form 4 umri uczidi 30. Aliyetayari an inbox her email.
 
Ina maana unataka kuoa mke wa mtu siyo? Maana kwa kawaida mtu hutafuta mchumba ili akishamuoa ndio anakuwa mke! Sasa wewe unatafuta mke wa kuoa!
 
Ina maana unataka kuoa mke wa mtu siyo? Maana kwa kawaida mtu hutafuta mchumba ili akishamuoa ndio anakuwa mke! Sasa wewe unatafuta mke wa kuoa!

Haaah haaah Kaaz kwel kwel
 
jamani mi nahitaji mke wa kuoa co kumchezea! awe muislam elimu kuanzia form 4 umri uczidi 30. Aliyetayari an inbox her email.
ukisema nahitaji mke unakuwa umeeleweka...tatizo unachapia mno...mara wa kuoa..sasa mke huwa ni wa nini???....ooh..sitaki kumchezea...ulishaona mke anachezewa???...kwa shida hizi tulizo nazo..haidhuru utapata wengi tu...kazi kwako??
 
Back
Top Bottom