Hela sio matako kwamba kila mtu anazo 😔🤣🤣😕Mimi kijana Umri 38,,elimu kidato Cha nne,rangi maji ya kunde,mwembamba ,, Kaz mjasi ria mali, nahitaji mwanamke wa kuoa umr 27--30,asiwe na mtoto, elimu awe kidato Cha nne na kuendelea,dini awe mkristo,kabila yoyote ,akiwa na Hofu ya Mungu itapendeza, k wa yoyote aliye serious aje pm tuyajenge.
Tena paleee 😂😂Duh unatafta mke kwa maelezo hayo ukimpata nipo paleeee
Sura ngumu mbaya mweusi pia mfupi SanaUngeweka na picha yako mkuu ingependeza
Ujana unaanzia from 18--55 .Una miaka 38, halafu unajiita kijana!
Usijal bro wee punzika hapo hapo.Tena paleee [emoji23][emoji23]
Kama ni hivyo basi hata mimi bado ni kijana mdogo kabisa.Ujana unaanzia from 18--55 .
Shida wa Tz wengi elimu ya kujua vitu vya kawaida na vya msingi hatunaKama ni hivyo basi hata mimi bado ni kijana mdogo kabisa.
Kwani ni mzee umri huo mkuu?Una miaka 38, halafu unajiita kijana!
Nilikuwa siku zote najua eti ukishafikisha umri wa kuanzia miaka 35+, tayari jua limeanza kuzama!Kwani ni mzee umri huo mkuu?
KumbeNilikuwa siku zote najua eti ukishafikisha umri wa kuanzia miaka 35+, tayari jua limeanza kuzama!
Na unatakiwa uwe umeshatulia kwenye familia. Unless zitokee changamoto za kufiwa na mwenza, nk.
Ndo njia sahihiBrother ungekuwa unawafahamu baadhi ya wanawake ingependeza kuwa unawafata mwenyewe pm kujaribu bahati ila ulivopost ivo ushaharibu
Ofcoz yes but kujielezea kipaji sometime anyway ngoja tumuombee Mwenyezi Mungu amfanikishe katika hiloNdo njia sahihi
KabisaOfcoz yes but kujielezea kipaji sometime anyway ngoja tumuombee Mwenyezi Mungu amfanikishe katika hilo