Davey 2017
Senior Member
- Mar 24, 2017
- 109
- 133
Nitajenga nae..umesha jenga? Wapi?
Mulokole.....ha ha haaa...tunafunga vizazi.. ukiwa na familiaukiwa na familia utaweza!!!!! maisha yako juu au wewe nimulokole mnajipanga matumaini tu
Tutajenga nyingine iliyopo ina mgogoro 😉umesha jenga? Wapi?
Ikifika hadi mwezi wa saba bado unatafuta nistue basi!!!
Khaaaa..Ikifika hadi mwezi wa saba bado unatafuta nistue basi!!!
Sidhani kama utafika. Ila ikifika ntakuchekiIkifika hadi mwezi wa saba bado unatafuta nistue basi!!!
Kila la kheri!!!Sidhani kama utafika. Ila ikifika ntakucheki
Miss Natafuta anatafuta rafiki wa karibu, anahitaji mwenye umri wako
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jmnIkifika hadi mwezi wa saba bado unatafuta nistue basi!!!
Wewe ongea nae pale kazunguka zunguka tu...anatafuta mumeAsante. Profile yake naona ina limit
Habari za leo wana JF,
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 37 natafuta mwanamke ambaye atakuwa mke anatakiwa awe ana umri kati ya miaka 28 hadi 34, akiwa hana ama ana mtoto ni sawa. Mimi ni mwajiriwa na mfanyabiashara, naishi Dar es Salaam na ni mkristo.
Mengine tutajuzana, kwa mawasiliano ni PM.
Asanteni[/QUOTE
Mshirikishe Mungu sana katika omni lako nadhani kupitia yeye utafanikiwa