raymoo20211
Member
- Aug 22, 2017
- 5
- 4
Unasema kwamba ww ni wife material?Mimi naitaji wife material nipo serious kbsa vigezo na mashart kuzingatiwa umri wangu ni miaka 30 ni muajiriwa kwenye private sector.so mwanamke ninae mtaka lazma awe na umri kuanzia miaka 29 mpk 25.tafadhali njoo pm kwa maelezo zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naitaji wife material mbona kma unazingua muhenga mwenzangu...@sergio 5Unasema kwamba ww ni wife material?
Mwandiko wako mbaya knoma
Hapo nimekupata wasubiri wanakujaNaitaji wife material mbona kma unazingua muhenga mwenzangu...@sergio 5
Sent using Jamii Forums mobile app