[emoji23] hii ni identity yako eehNa mwenye chura atapewa kipaumbele!
Mwanamke naefaa kuoa ni katika hao waliokuzunguka, kwa mfano uliosoma nao, uliocheza nao pamoja unaoishi nao mtaa mmoja au kufanya nae kazi, au utafutiwe na mtu anaewajueni vizuri ninyi wawili, unapofikiria mke fikiria familia ya muda mrefu.
Was kidding eti....naelewamwanamke anayekujali kitu cha kwanza kukupa ni heshima, nadhani utanielewa kama una mpenzi
Sasa utatafutaje mke kwenye mitandao? ufungamani na watu hata kuimba kwaya, kwenda DISCO, matamasha?una uhakika siwezi kusimama kama mwanaume kijana? Baba yako, babu yako, babu mzaa babu yako wote walifika chuo? unadhani ukifika chuo ndo unakuwa mume bora? Jitafakari halafu ujipe majibu
In magufuli voiceNa mwenye chura atapewa kipaumbele!
Ww hutaki mume au ulishaolewa?Wanakuja warembo subiri
Wa kwangu ni yule atatoka kwa bwana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nangojeaWw hutaki mume au ulishaolewa?
.nani alikwambia hcho ndo kitu muhimu kwa mke? Ukiumwa tako ndo litakuliwaza? kuwa na heshima kwa wanawake, na msichana akishaona hcho ndo kigezo muhimu atambue kamwe hatopata mume bora
Me nimeshuka usiku wa jana tu kutoka kwa bwana.Wa kwangu ni yule atatoka kwa bwana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nangojea
Weeeh basi itakua ndo ww etiMe nimeshuka usiku wa jana tu kutoka kwa bwana.
Hakika mimi ndiye.Weeeh basi itakua ndo ww eti
kusubiri kumekiwishaaa ss nishakupata bdo tu kukupokeaHakika mimi ndiye.
Unachelewa kufanya hivyo. 😀kusubiri kumekiwishaaa ss nishakupata bdo tu kukupokea
Ngoja niwahi unipokee tu[emoji2088][emoji2088]Unachelewa kufanya hivyo. [emoji3]