NAHITAJI MKE

Entermoeba

Member
Joined
May 29, 2018
Posts
6
Reaction score
0
bonjour wana jf ! umri wangu ni miaka 32 ni mfanyabiashara naishi singida, Elimu yangu ni chuo. nahitaji mwanamke mwenye sifa zifuatazo ili awe mke wangu ! awe mcha mungu dini yoyote,awe na umri wa kuanzia miaka 20 hadi miaka 30 asiwe mnene sana , Mwenye uhitaji aje PM.
 
Upate mke JF ukiwa singida? Hivi singida iko wapi vile? jf inafika?
 
Kwa umri wako mzee baba kuja huku unakosea ni sawa na kununua gazeti la jana wakati la leo lipo na uliliona!!!

Huku wanakujaga dakika za majeruhi mjomba!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…