Kwani kafunga???...wee Tripp changamka babaa!!Niombee kwa Mungu afungue piemu sasa😂
Akizingua nazama piemu yakoKwani kafunga???...wee Tripp changamka babaa!!
🤣🤣🤣 Karibu Sana, Naona umedhamiria kweliAkizingua nazama piemu yako
Staki mwaka uanze siko na mutu
Haya fungua piemu sasa nije chap si unaona masaa inaenda🤣🤣🤣 Karibu Sana, Naona umedhamiria kweli
Karibu ila njoo na tahadhari kubwa!!Haya fungua piemu sasa nije chap si unaona masaa inaenda
😂😂😂sawa sawaKaribu ila njoo na tahadhari kubwa!!
DuuhHabari wana ndugu mimi ni kijana wa miaka 32 naishi dar es salaam ,mkristo na nimejiajiri natafuta mpenzi alietayari kuwa mke, vigezo asiwe na mtoto zaidi ya mmoja awe tayari kwa ndoa mwakani.