Darubini Kali
Member
- Jun 14, 2012
- 74
- 103
Sema unatafuta Jimama la kukulea. Miaka 40 mileage za kutosha. Jiandae kupigwa makonziMimi age 40 nahitaji mke anayejitambua na wenye hekima.kamba hujitambui kaa mbali
Ungepost kule love connect mkuuu huku sio sehemu yakeMimi age 40 nahitaji mke anayejitambua na wenye hekima.kamba hujitambui kaa mbali
Tayari yeye hajitambui maana angejitambua angeweka sehemu sahihi post yakeUngepost kule love connect mkuuu huku sio sehemu yake
Hajielew ndo maana anakimbilia senior citizens wampe nafuu ya maishaTayari yeye hajitambui maana angejitambua angeweka sehemu sahihi post yake
Kweli kabisavHajielew ndo maana anakimbilia senior citizens wampe nafuu ya maisha
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mbavu zangu daaPaundwe Wizara ya Ubunifu vijana wapewe maarifa mapya ya kujiajiri vinginevyo vijana wanaishia kutafuta madanga
Lazima wanabaniwa everything wafanyaje madanga ndio only solutionPaundwe Wizara ya Ubunifu vijana wapewe maarifa mapya ya kujiajiri vinginevyo vijana wanaishia kutafuta madanga mitandaoni
Nimeku pm dadaKila la kheri
Asante mkuuKila la kheri
Nimekujibu wanguNimeku pm dada
AsanteNimekujibu wangu