Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 4,052
- 4,621
Hapana miaka 24 mingi sana, mwaka mmoja tu wa ndoa unatoshaukishakaa naye miezi 24 naomba mrejesho..
Amina mkuuKila la heri mkuu na Mungu Akaibariki ndoa yenu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
View attachment 2643226
Sawa ntakupa mungu wetu yupo .nyumba bora ujengwa na msingi bora .ukishakaa naye miezi 24 naomba mrejesho..
huwa kuna muda wa kujitafakari baada ya kupigwa matukio ndio maana nimeweka miezi 24.. akipita hiyo miezi 24 salama basi mjuba ataakuwa ameoa mke sahihi.. wanawake wengi ni vimeo.. ni wazuri wa maumbo na sura ila kichwani akili hamna. ukitaka kumpima mke uliyeoa kuwa ni sahihi pita kwenye nyakati za shida.Hapana miaka 24 mingi sana, mwaka mmoja tu wa ndoa unatosha
Amina mkuuMungu na awasaidie. Nawatakia kila la kheri. Ndoa ni jambo jema.
Mkaijenge familia imara na itakayopendeza machoni pa Mungu.
Nashukulu kwa hoja ubalikiwe sana.ila tangu mwanzo nilisema mke anaye jitambua sikusema mke mwenye matako makubwa au umbo namba nane au sura nzuri sana. Niiomba mungu anipe mke anaye jitambua hicho ndo kilikuwa kigezo namba moja hatimaye nimapata ,mengine namwachia mola wanguhuwa kuna muda wa kujitafakari baada ya kupigwa matukio ndio maana nimeweka miezi 24.. akipita hiyo miezi 24 salama basi mjuba ataakuwa ameoa mke sahihi.. wanawake wengi ni vimeo.. ni wazuri wa maumbo na sura ila kichwani akili hamna. ukitaka kumpima mke uliyeoa kuwa ni sahihi pita kwenye nyakati za shida.
Hajui ni utapeli..πUsioe mkuu
Sawa bado mtoto ukikua huwezi sema hayo.hembu kula ujana kwanza ndoa tauchie kaka zakoHajui ni utapeli..[emoji23]
Acha kuwa unapost porno
andaa gunia la mkaa mapema, na Needle Nose pliers kama ya Isaac wa ArushaSawa bado mtoto ukikua huwezi sema hayo.hembu kula ujana kwanza ndoa tauchie kaka zako
Mwanamke mbaya kimuonekano ndo anaweza kukuvumilia nyakat za shida , mwanamke mzuri sanasana atakachokifanya kama amezaa na ww ni kubaki kwenye ndoa Ila ataliwa Sana nje hzo nyakat za shida zakohuwa kuna muda wa kujitafakari baada ya kupigwa matukio ndio maana nimeweka miezi 24.. akipita hiyo miezi 24 salama basi mjuba ataakuwa ameoa mke sahihi.. wanawake wengi ni vimeo.. ni wazuri wa maumbo na sura ila kichwani akili hamna. ukitaka kumpima mke uliyeoa kuwa ni sahihi pita kwenye nyakati za shida.
Nyie kaka ndio baadae mnakuja mnatuambia "mdogo wangu ndoa isikie tu kwa majirani"..Sawa bado mtoto ukikua huwezi sema hayo.hembu kula ujana kwanza ndoa tauchie kaka zako
Ushauli wako nini kijanaNyie kaka ndio baadae mnakuja mnatuambia "mdogo wangu ndoa isikie tu kwa majirani"..
Acha UkorofiHakika umepata kwakuwa ametoka Kwa BWANA mimi
Usioe ndoa ni utapeli,ndoa ni ugaidi,ujangili,umafia na ni ujambazi pia! Kama umenenepa ndio itakukondesha!,ukioa utatusumbua uanze kunywa sumu! Umuachie nani taifa,taifa lenyewe bado changa bwawa la umeme halijafunguliwa bado we unaoa!Ushauli wako nini kijana
si unitafute nina kamchango ndio na mimi niwe shareholderKama nilivyotoa tangazo la kutafuta mke anaye jitambua hatimaye namshukulu mungu nimempata mke huyo.chaguo la moyo mwenye kujitambua.Tunatarajia kufanga ndoa mwezi 10 mwaka huo 2023 ,karibuni sana
ndio maana siku hizi kaacha ku comment kabisaa.. HongeraWapo sana humu ila omba mungu akupe mtu sahihi anayejitambua