Nahitaji Mke

Ungekuwa hutaki kikomentiwa ungetuma kwenye group la familia MbwaAisee
Rafiki matusi ya Nini, Kama vile unaugomvi na Mimi kinachokuuma ni nini🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Mkuu nakutiaπŸ–•moyo....ila humu kupata mke ni Mungu tu.
 
Unakuwaje social halafu ukose mchuchu mmoja mkaliiii

Aaaaah bro usiniangushe bhana

btn Mungu akupe hitaji la moyo wako
 
Hapo mwishoni kumekuonesha tabia yako, una mipasho sana huyo mke mwenye taaluma ya elimu au ya afya mtawezana kweli!?

Nakushauri washirikishe wazazi/ndugu au kanisa lako.
Anataka walimu au manesi

Hawa watu naona ni fursa sana kwa wanaume
 
Wee Msukuma angalia unataka kuachwa na Basi! Yaani miaka 35 bado unajishauashaua hapa? Wewe mwenyewe huna mtoto? Ningelikuwa nakufahamu tabia yako ningekuita huku SHY uje ujiokotee toto la nguvu ingawa linakosa kigezo cha taaluma ya Afya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…