Nahitaji Mke

Nahitaji Mke

Deepwater

Member
Joined
Nov 27, 2013
Posts
8
Reaction score
6
Nahitaji mke ambaye atakuwa tayari kupima Ukimwi,mimi nina umri wa miaka 44 nina watoto 2 na nimeajiriwa,ninaye muhitaji naomba awe na umri kuanzia miaka 39 mpaka 42,awe mfayakazi wa kuajiriwa au mfanyabiashara mwenye mapato ya kuridhisha,asiwe na watoto zaidi ya 2.Lengo la kuwa na kipato kinachoridhisha ni kwa ajili ya kumudu kuwalea watoto wetu.Atakayekuwa tayari ani PM tafadhali.
 
Kwanini uliacha na mkeo? Hebu funguka maana nina vigezo aisee...
 
du ulitakiwa kutoa sababu ya kuachana na mke wako wa zamani
ueleze huyo namfanyia nini wakati umri wako huo umeenda saana na sijui kama unahisia za mapenzi
na ueleze kwa nini umechukua maaamuzi ya kuja jf wakati huko mtaaani kuna watu wazuri tu ndio tuseme wote wabaya na kama hutajibu mkuu maswali yangu tutajua ni walewale wanzinzi wa mitandao kila kukicha wanao kwa kigeeezo cha kwamba wanawake wanakutenda kumbe wewe mwenyewe tatizo
 
Hi Weka basi namba ya simu, niko serious. Ni PM
 
weka picha yako watu wakuthaminishe usije ukawa na msura kama wa mbunge wetu fulani wa bunda{tyson}.
 
Nahitaji mke ambaye atakuwa tayari kupima Ukimwi,mimi nina umri wa miaka 44 nina watoto 2 na nimeajiriwa,ninaye muhitaji naomba awe na umri kuanzia miaka 39 mpaka 42,awe mfayakazi wa kuajiriwa au mfanyabiashara mwenye mapato ya kuridhisha,asiwe na watoto zaidi ya 2.Lengo la kuwa na kipato kinachoridhisha ni kwa ajili ya kumudu kuwalea watoto wetu.Atakayekuwa tayari ani PM tafadhali.

Bahati mbaya, sie wengine ndio kwanza 30, leo nakipato cha kuridhisha utanitaka kesho sina kipato cha kuridhisha si utaniacha. Maisha kigeugeu.
 
Nahitaji mke ambaye atakuwa tayari kupima Ukimwi,mimi nina umri wa miaka 44 nina watoto 2 na nimeajiriwa,ninaye muhitaji naomba awe na umri kuanzia miaka 39 mpaka 42,awe mfayakazi wa kuajiriwa au mfanyabiashara mwenye mapato ya kuridhisha,asiwe na watoto zaidi ya 2.Lengo la kuwa na kipato kinachoridhisha ni kwa ajili ya kumudu kuwalea watoto wetu.Atakayekuwa tayari ani PM tafadhali.

wewe kipato chako cha kuridhisha? Au unataka nikulee wewe na watoto wako?
 
Back
Top Bottom