Nahitaji mkopo ili nikuze biashara yangu ya viatu

Baraka sheni

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2015
Posts
471
Reaction score
197
Habari wanajamvi nahitaji mkopo nikuze na nipanue wigo wa masoko wa biashara yangu ya viatu vya kimasai.
maana inafika wakati wateja wanakuwa wengi ila kutokana ninamtaji mdogo nashindwa kuwapa mzigo kwa wakati.
Nilihitaji mkopo kwa ajili ya kununua vifaa ambavyo ni chereani na msasa(mota) pamoja na dagresheni ya urembo ambavyo vinakost sh 400000
 
1.Tafuta jina nenda kasajili brela km kampuni.
2.Fungua akaunti kwa jina la kampuni yako kupitis crdb au NBC
3.pesa inayopatikana kutokana na mauzo ya viatu ipitie benki,baada ya muda omba mkopo utakopesheka...

NB km unahitaji mwasheria wa kusimamia usajili wa kampuni yko brela ni pm namba zako.
 
mkuu je inawe kugarim kiasi gani kusajili kama kampuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…