Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Wadau wapi ntapata kati ya 10m-15m nikalime. Nina kiwanja chenye hati kama collateral pia nina mkataba wa kazi ambao huwa na urinew kila baada ya mwaka.
Mkataba huo una thamani ya 1m kwa mwezi. Nyaraka zote muhimu ninazo. Ninauwezo wa kurudisha laki sita kwa mwezi.
Nimezunguka mabenki wanasema mara hawakopeshi wakulima, mara uwe ni biashara yenye tin number na report inayoonyesha cash flow na mambo kama hayo ambayo nikiwa kama start up ni shida.
Mwenye kuijua bank au taasisi naweza pata huu mkopo anisaidie tafadhali.
Mkataba huo una thamani ya 1m kwa mwezi. Nyaraka zote muhimu ninazo. Ninauwezo wa kurudisha laki sita kwa mwezi.
Nimezunguka mabenki wanasema mara hawakopeshi wakulima, mara uwe ni biashara yenye tin number na report inayoonyesha cash flow na mambo kama hayo ambayo nikiwa kama start up ni shida.
Mwenye kuijua bank au taasisi naweza pata huu mkopo anisaidie tafadhali.