Nahitaji Mkopo kutoka Platinums, nifanyeje?

Konzogwe

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2008
Posts
434
Reaction score
156
Naombeni mnisaidie kujua kuhusu mkopo kwenye taasisi ya platinums. je wanakopesha hadi shilingi ngapi kwa mfano mtu mshahara wangu laki tano na nusu. na marejesho ni kwa mda gani?
kwa anayefahamu anisaidie
 
Naombeni mnisaidie kujua kuhusu mkopo kwenye taasisi ya platinums. je wanakopesha hadi shilingi ngapi kwa mfano mtu mshahara wangu laki tano na nusu. na marejesho ni kwa mda gani?
kwa anayefahamu anisaidie
Kaa mbali na hao watu mkuu wenzako wanalizwa kila siku. Tafuta sehemu nyingine kopa
 
Nafuu ukope bank au Kama uko tayari ukope Laki 7 ulipe million 3 wasiliana nao hao na bayport
 
Naombeni mnisaidie kujua kuhusu mkopo kwenye taasisi ya platinums. je wanakopesha hadi shilingi ngapi kwa mfano mtu mshahara wangu laki tano na nusu. na marejesho ni kwa mda gani?
kwa anayefahamu anisaidie



hiyo inaitwa weka mbali na watoto, bora uende nmb
 
Naombeni mnisaidie kujua kuhusu mkopo kwenye taasisi ya platinums. je wanakopesha hadi shilingi ngapi kwa mfano mtu mshahara wangu laki tano na nusu. na marejesho ni kwa mda gani?
kwa anayefahamu anisaidie

Ndugu chonde chonde,nakuomba usiwaguse hao na wengineo kama bay port na faidika tafadhali hata kama una shida hadi kwenye ukucha,ila nenda nmb,posta bank na crdb
 
Nakuomba sana hao watu ni wabaya mno ni bora Bank. Nakushauri kwa mpango endelevu jiunge na saccos zilizosimama nyingi riba zao ziko chini na hakuna kuadhirika mara unapokwama kurudisha mkopo kuliko mabenki na taasisi hizi za kukopesha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…