Nahitaji mkopo kutoka taasisi za fedha.

JipuKubwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2013
Posts
2,341
Reaction score
2,390
Habari GT,naomba kwa anayefahamu taasisi za fedha inayokopesha pesa kwa dhamana ya ardhi,lakini siyo hati bali ni zile karatasi za mauziano na serikali za mitaa.Nawasilisha.
 
na mimi nauliza. maana nikiwaza utaratibu wa hati wa miezi sita ishu zangu zitakwama.
 
zipo taasisi kama efl wanatoa sema shida kufuatilia nilisikia hata bank access na acb wanatoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…