Po.box 12659
okoa muda,okoa pesa na kuza biashara yako kwakuhudumiwa na Busiminet co.ltd
BUSIMINET COMPANY LIMITED
Kinondoni-Dar es salaam
Tanzania
Mob: 07 65 90 10 93 / 0782 19 19 05
E-mail: busiminet@gmail.com
Website: busiminet.blogspot.com
BUSINESS
1.Assist in business licenses registration with municipals, ministries and other Government bodies.
2. Assist in business name, School, Colleges, NGOs, Succoss and Company registration.
3. Preparation of Business Proposal, Constitution, Memorandum, Article of Association and Company Profile
4.Preparation of business plans
5.Business Restructuring
6.Loan processing
7.Business consultations
8.Preparation of Research proposals
Mleta mada unanitia mashaka.Unajua kaka vitu vingine vinaenda kwa kujuana zaidi ili mambo yaende fasta...
Nenda Equity Bank ni watu wazuri watakusaidia. Ukifanikiwa twambie kwenye forum. Ukikwama pia twambie tukuelekeze zaidi.Kutokana kichwa cha habari hapo juu, kupitia ukurasa huu wa mjasiriamali, mwenye connection wa kupata mkopo mkubwa wa kufungua kiwanda kidogo(small scale) na mkopo mwingine wa kumalizia single storey kwa ajili ya biashara ya LODGE ila sihitaji microfinance banks coz wazinguaji...nahitaji mkopo ya muda mrefu kidogo,dhamana ninazo
Nadhani mkopaji hana biashara kwa sasa na anategemea mkopo ili kumalizia hizo project zake. Nijuavyo hata ukiwa na dhamana kama huna biashara nivigumu kupata mkopo kwa mabenki sbb wao hawatoi pesa ya kuanzishia biadshara isipokua tib kama sikosei japo nayenyewe si kazi rahis sana. Ready kukosolewa
Kwenye kujieleza ila kubali ama kataa siku kila kitu ni connectionMleta mada unanitia mashaka.
Kwa jinsi Bank zilivyo hivi sana na dhamana za uhakika kama unazo.Haifiki mwezi unapewa pesa.
Issue ya kujuana kwenye Mabank tunapenda kuikuza sie tu,na wala haipo kiviile.
Inawezekana kwenye kujieleza na kuwasilisha maombi yako ndio ikawa tatizo hapo.
Mkuu badilika,ukiwa na imani kwamba kila kitu lazima ulishie basi utajikuta kwamba kuna vitu hufanyi kwa kuhofia hivyo.Kwenye kujieleza ila kubali ama kataa siku kila kitu ni connection