Nahitaji mkopo wa biashara, ninayo dhamana ya kuweka rehani

Resi

Member
Joined
Aug 29, 2007
Posts
73
Reaction score
17
WanaJamii, habari za jioni.
ninahitaji mkopo wa kiasi cha 10m - 15m hivi. Ninayo plot katika manispaa, chenye hati ya manispaa Morogoro. Naomba msaada wa kujua namna ninavyoweza kupata mkopo wa kiasi kilichotajwa. Mabenki wamenizingua tu. Nahitaji kujua kama kuna taasisi (siyo benki) au watu binafsi wanaoweza kunisaidia. Aksanteni.
 
kopa kwa watu binafsi mabenki mpaka uwe na biashara ya kueleweka.. lakini jihadhari watu binafsi riba yao ni kubwa sana na ukizingua kidogo hiyo plot wanaichukua
 
Kiwanja chenyewe hicho hakifikii thamani ya mkopo.Morogoro bado saaana

Sasa bora uuze kiwanja kisha ufanye yako.

Bank sio kwamba wamekuzingua,ila umetaka njia ya mkato,sio kila kitu kuilamu Bank,hakuna mtu au bank inaweza kutoa pesa kihuni au kama mtu unavyotaka wewe.
We unasema Bank wanazingua wakati wenzako anachukua,we unakuta mtu ana dhamana ya mali ya 4m anataka 15m,we nani atakubali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…