Nahitaji mkopo wa haraka, 1.8m

Nahitaji mkopo wa haraka, 1.8m

IPILIMO

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
1,819
Reaction score
801
Hello wadau,

Nina uhitaji wa mkopo wa fasta SH 1.8 M (Milioni moja na laki nane), riba isizidi 20% kwa miezi miwili. Nahitaji mkopo huo kwa kibiashara kwa Dhamana ya Gari yangu, ambayo naiuza kwa 4.5m (Mitsubishi Lancer, cc 1597, milage 149,350km, blue, 1 litre/13km, bado iko vema). Ukitaka kununua poa, ILA zaidi nahitaji mkopo kabla ya tarehe 23 Octoba hii. Mwenye PESA hiyo tufanye biashara hii, niko Mbeya mjini, kama uko nje ya Mbeya, kama Dar, nina uwezo wa kuja nayo nikakuachia huko. utaweza kukagua gari kabla ya kuchukua kama dhamana.
Call 0652 656565 au niPM.
 
Pole mkuu,
Kwa muonekano ilivyo nikwamba pamoja na riba ya mkopo mtu akikupa 3.5m anachukua gari.
Aunasemaje

Tuwasiliane kwa simu basi kabla ya jioni, naona proposal yako inawezekana, tujadili kwanza, uko wapi? NINA SHIDA INATAKIWA PESA KESHO. ILA labda sijui uko wapi? maana niko mbeya. NIPIGIE KWA 0652 656565
 
Kukopeshwa, thanks deal done. Nashukuru JF. Ila sasa deal ni kuwa mwenye kuhitaji gari hiyo it is for sale; Pay 4.5m then you go with it!! kama una pungufu kidogo, lets negotiate, itapungua kidogo, ukiwa mbali, unalipia mafuta tu nakuletea.
 
Kukopeshwa, thanks deal done. Nashukuru JF. Ila sasa deal ni kuwa mwenye kuhitaji gari hiyo it is for sale; Pay 4.5m then you go with it!! kama una pungufu kidogo, lets negotiate, itapungua kidogo, ukiwa mbali, unalipia mafuta tu nakuletea.

kila la kher nenda ukafanikiwe mkuu ktk biashara yako,hongera kwa kupata huo mkopo Jf bana pazur
 
Kukopeshwa, thanks deal done. Nashukuru JF. Ila sasa deal ni kuwa mwenye kuhitaji gari hiyo it is for sale; Pay 4.5m then you go with it!! kama una pungufu kidogo, lets negotiate, itapungua kidogo, ukiwa mbali, unalipia mafuta tu nakuletea.

Mkuu nipo mwanza nakupa 3.8m niuzie
 
JF ndo kila kitu yani hata ukiuliza mkuu wa kaya amekula nini leo utaambiwa
 
Umepatia wapi na mie nifungulie njia nina shida very serious,

Tangaza tu itategemea kama unachotangaza kina mashiko kwa wadau, ila kumbuka ni mkopo hivyo masharti na vigezo vinazingatiwa baina yenu hadi wewe kupata hiyo mpesa.
 
Back
Top Bottom