Nahitaji mkopo wa haraka kwa dhamana hii

Paroco

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2017
Posts
2,389
Reaction score
10,595
Wanabodi habari!
Kama kichwa kinavyojieleza nahitaji mkopo Personal wa Tsh Milion 1 kwa Makubaliano yeyote Yale.
Dhamana yangu ni kiwanja kilichopo Kwa Mwangosi huku kwa Wanyalukolo.
AU
kwa anayehitaji kukinunua tuwasiliane.
Nawasilisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…