Nahitaji mkopo wa haraka, msaada.

GreenCity

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2012
Posts
5,796
Reaction score
4,497
Habari wana JF.
Mimi ni kijana ninayeanza ujasiliamali, na hivi karibuni nimeanzisha biashara ya M-pesa na nafaka hapa Iringa. Napata wateja wengi sana kuliko uwezo wa mtaji wangu, nahitaji kujitanua zaidi. Hivyo naomba ushauri wa jinsi ya kupata Mkopo (toka kwa mtu binafsi au taasisi) wa haraka kuanzia laki mbili (200,000) kwa riba isiyozidi 15% kwa mwezi. Nina dhamana inayohamishika kama friji, computer, radio (disc changer), TV, n.K (kwa Iringa)
pia nina eneo/nyumba (Mbeya).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…