JGimbuya
Member
- Dec 30, 2021
- 16
- 15
Wasalaam
Mimi ni muhitimu Bachelor wa fani ya IT. Nimeajiriwa na kampuni binafsi iliyopo Dar es Salaam since 2019. Nina mkataba wa kudumu.
Nahitaji mkopo wa kiasi cha Tshs 2,000,000 kuna project nahitaji kuifanyaa kwa uharaka. Nitawezaa kurudisha ndan ya muda wa miezi 7, kwa riba ya 20% ya mkopo.
Mdhamini ni kampuni ninayofanyia kazi na mkataba nilionao na kampuni.
Hivyo unaweza kufika ofisini tukazungumuza zaidi au nikaweza kukutembelea wewe mahali ulipo
Asante
Mimi ni muhitimu Bachelor wa fani ya IT. Nimeajiriwa na kampuni binafsi iliyopo Dar es Salaam since 2019. Nina mkataba wa kudumu.
Nahitaji mkopo wa kiasi cha Tshs 2,000,000 kuna project nahitaji kuifanyaa kwa uharaka. Nitawezaa kurudisha ndan ya muda wa miezi 7, kwa riba ya 20% ya mkopo.
Mdhamini ni kampuni ninayofanyia kazi na mkataba nilionao na kampuni.
Hivyo unaweza kufika ofisini tukazungumuza zaidi au nikaweza kukutembelea wewe mahali ulipo
Asante