Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 1,056
- 2,118
Jaman nani anaweza nisaidia kupata mkopo wa milion 5 kutoka kwa mtu binafsi kama inawezekana naomba tuwasiliane
0748469897
0748469897
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1) Unahitaji Kwa lini?Jaman nani anaweza nisaidia kupata mkopo wa milion 5 kutoka kwa mtu binafsi kama inawezekana naomba tuwasiliane
0748469897
Hakuna bank inaweza kutoa hela haraka, hela ya bank in mlolongo mrefu mkuu ,hela ya bank siyo mali ya mtu lazima ipitie approvals nyingi hadi iingie kwakonenda bank mkuu hiyo unapata mbona
Naskia kukopa bank kuna mambo mengi kiasi ambacho kama unaona mtu kapata leo mkopp jua mchakato wake alianza miaka mitatu nyumaHakuna bank inaweza kutoa hela haraka, hela ya bank in mlolongo mrefu mkuu ,hela ya bank siyo mali ya mtu lazima ipitie approvals nyingi hadi iingie kwako
Mkopo wa fedha unatolewa benki na kwenye taasisi za kifedha za watu binafsi, na zilizoinishwa na BOT!Jaman nani anaweza nisaidia kupata mkopo wa milion 5 kutoka kwa mtu binafsi kama inawezekana naomba tuwasiliane
0748469897
Kuna gari or kiwanjaDhamana yako ni ipi?
1.kwa mwezi huu1) Unahitaji Kwa lini?
2) Utarudisha lini?
3) Uko tayar Kwa riba ya kias gani?
4) Dhamana unaweka nini?
Gari au kiwanja na nipo dar es salaam goba5m ni kubwa sana. Unaweka dhamana gani nikuunganishe na mtu hata leo unaipata. Ni vema pia ukasema uko wapi
Acha kupoteza muda. Kama kweli unahitaji hiyo milioni 5, fanya uuze kimojawapo kati ya gari au kiwanja. There is no short cut my dear.Gari au kiwanja na nipo dar es salaam goba
Kaitamka 5 m kama elf 50Acha kupoteza muda. Kama kweli unahitaji hiyo milioni 5, fanya uuze kimojawapo kati ya gari au kiwanja. There is no short cut my dear.
niuzie kiwanja chap nikupe hela iyoJaman nani anaweza nisaidia kupata mkopo wa milion 5 kutoka kwa mtu binafsi kama inawezekana naomba tuwasiliane
0748469897
Ila sitauza kwa milion 5 kwakweliniuzie kiwanja chap nikupe hela iyo