Kiumbe duni
Senior Member
- Dec 3, 2011
- 100
- 8
kumbe unawafahamu access bank, basi wewe ni mzoefu mzuri wa mikopo
Wadau mimi nina biashara yangu grossery ndogo tu ya kawaida, nahitaji mkopo wa m1 nataka kuiboresha zaidi kwa kuongeza viti, meza pamoja na friza moja kubwa. Nisaidieni ni benki gani ninayoweza kupata mkopo kutokana na vigezo nilivyo navyo?. Ila benki ya Accises na nyingine zenye riba kubwa kama hii sizihitaji. Biashara yangu ina leseni.
Ahsante sana mkuu, grossery yangu inatosha kama dhamana. Watu wengi wamenishauri niende NMB.Watembelee NMB, wana riba nzuri sana. Kwa kiwango hicho ni takribani laki moja kwa mwaka. Wasiwasi wangu ni collateral utakazotumia! But kizuri ni kwamba hata vitu vya nyumbani na vitendea kazi vya ofisini wanakubali. Kama unavyo usisite kuwaona hao au tembelea MYC4 kwenye www.myc4.com utakutana na wadau huko.
Kila la heri
ina maana hata mtu ambye sio mfanyakazi wa serikali anaruhusiwa kukopa NMB?