Nahitaji Mkopo wa kufanya Biashara

DAVID MJEMA

New Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
1
Reaction score
0
Jamani mwezenu na hitaji kupata mkopo kwa ajili ya kufanyia biashara, taasisi zote za mikopo ninazo zifahamu zina mashariti ambayo yananibana nishindwe kukopesheka. Tusaidianeni wadau, ukiona kuna taasisi ambayo unajua ina mashariti yanayo tekelezeka na kumfanya asiyekuwa na mali zisizo hamishika akopesheke, basi naomba mniambie. Mimi ni Radio Presenter by professional ila napenda zaidi kuchakarika na kuwa na njia zaidi ya moja ya kuingiza kipato. Nahitaji msaada wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…