Nahitaji mkopo wa milioni 100

mr mpole

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2013
Posts
418
Reaction score
169
Wanajamvi naitaji mkopo wa ela tajwa iwe kampuni au mtu binafisi kwa ajili ya biashara ninayotaka kufanya

kwa yeyote anaye weza ninaweza kufanya nae tukutane pm kwa maelezo zaidi.
 
Mbona maelezo yako hayaja jitosheleza mkuu
Wanajamvi naitaji mkopo wa ela tajwa iwe kampuni au mtu binafisi kwa ajili ya biashara ninayotaka kufanya

kwa yeyote anaye weza ninaweza kufanya nae tukutane pm kwa maelezo zaidi.
 
sijakuelewa mdau unahitaji 100M kwa ajiri ya kuanza biashara au kufund biashara ambayo ipo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…