Nahitaji mkopo wa milioni 100

Wanajamvi naitaji mkopo wa ela tajwa iwe kampuni au mtu binafisi kwa ajili ya biashara ninayotaka kufanya

kwa yeyote anaye weza ninaweza kufanya nae tukutane pm kwa maelezo zaidi.


Duh

Una nyumba kwenye kiwanja chenye hati?Nyumba yenyewe iwe Dar maeneo ya mikocheni,masaki,mbezi beach,kunduchi au mbweni!

Kwingine sitaki..

Nyumba iwe na thamani ya milioni 500.

Tufanye transfer kabisa! Nakupa 100 na tunaweka tarehe ya kikomo!Ikivuka saa nne kamili mali si yako..

Na kwenye huo muda kila mwezi interest ni 30%,na inakua compounded kwa miezi consecutively...

Na hela haikai zaidi ya miezi sita!

Ukiwa tayari niPM!
 
mashart ayo lugumi anayaweza
 
Umenikumbusha meme moja hivi yakitambo.,. "Huwezi kuta tangazo la FERRARI au LAMBOGHIRNI kwenye tv kwasababu watu wenye uwezo wa kununua hizo gari hawana muda wa kuangalia tv" 😀😀😀 nimejaribu kuweka kwa kiswahili!!!
Hebu iweke ya kingereza pengine itasound vizuri zaidi kujiinspire
 
Wanajamvi naitaji mkopo wa ela tajwa iwe kampuni au mtu binafisi kwa ajili ya biashara ninayotaka kufanya

kwa yeyote anaye weza ninaweza kufanya nae tukutane pm kwa maelezo zaidi.
andika na mchanganuo wa biashara unayotaka kufanya ushauriwe kabla hatujakufunga kwa kukosa maarifa.shida wakati mwingine sio mtaji tu
 
Siyo vizuri kumfanyia mwenzako ujambazi. Kwa masharti hayo dhamana yake inakwenda na maji na sumu itamhusu
 
Si ungeenda bank mkuu ila kama huna biashara ya kueleweka
 
Siyo vizuri kumfanyia mwenzako ujambazi. Kwa masharti hayo dhamana yake inakwenda na maji na sumu itamhusu

Sio ujambazi mkuu..

Ni business proposal nimeweka mezani,amekaa basi..sio lazima achukue...

Ndio uzuri wa biashara,sio lazima uchukue deal!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…